forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
883 B
Markdown
24 lines
883 B
Markdown
# Simoni na Lawi ni ndugu
|
|
|
|
Hii haimaanishi tu ya kwamba wao ni ndugu kwa kuzaliwa. yakobo anasisitiza ya kwamba walishirikiana pamoja kuwaua watu wa Shekemu.
|
|
|
|
# Panga zao ni silaha za vurugu
|
|
|
|
"Wanatumia panga zao kudhuru na kuua watu"
|
|
|
|
# Ee nafsi yangu ... moyo wangu
|
|
|
|
Yakobo anatumia maneno "nafsi" na "moyo" kujitambulisha na kusema ya kwamba watu wengine, na labda Mungu pia, wanamheshimu sana ya kwamba hatamani kujiunga na wale wanaopanga kufanya uovu.
|
|
|
|
# usiingie barazani pao; usiingie katika mikutano yao
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja. Yakobo anaunganisha kuweka msisitizo ya kwamba hataki kushirikiana katika mipango yao miovu. "hakika sitajiunga nao kufanya mipango yoyote"
|
|
|
|
# kuwakata visigino ng'ombe.
|
|
|
|
Hii ina maana ya Simoni na Lawi kulemaza ng'ombe kwa starehe tu.
|
|
|
|
# kuwakata visigino
|
|
|
|
Hii ina maana ya kukata visigino vya miguu ya wanyama ili isiweze kutembea.
|