sw_tn/gen/47/20.md

491 B

Kwa njia hii, nchi ikawa mali ya Farao

"Kwa hiyo nchi ikawa ya Farao"

Ilikuwa ni nchi ya makuhani pekee ambayo Yusufu hakuinunua

"Lakini hakununua nchi ya makuhani"

makuhani walikuwa wakipewa posho

"Posho" ni kiasi cha pesa au chakula ambacho mtu hutoa mara kwa mara mtu mwingine. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Farao aliwapa makuhani kiasi fulani cha chakula kila siku"

Walikula katika sehemu aliyowapa Farao

"Walikula kutoka kwa kile ambacho Farao aliwapatia"