forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
654 B
Markdown
16 lines
654 B
Markdown
# mwende kwa baba yangu
|
|
|
|
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "kushuka" kuzungumzia safari ya Kaanani kwenda Misri. "kurudi kwa baba yangu"
|
|
|
|
# mmwambie, 'Hivi ndivyo asemavyo Yusufu mwanao, "Mungu amenifanya ... yote uliyonayo
|
|
|
|
Hii ni nukuu yenye madaraja matatu. Inaweza kurahisishwa katika madaraja mawili. "muambieni ya kwamba hivi ndivyo nilivyosema: "Mungu amenifanya ... yote uliyonayo"
|
|
|
|
# Shuka kwangu
|
|
|
|
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "shuka" kuzungumzia safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri. "Njooni hapa kwangu"
|
|
|
|
# ukaingia katika uhitaji
|
|
|
|
Hii inazungumzia kuhusu "uhitaji" kana kwamba ilikuwa kikomo cha safari. "kupotea bure" au "kushinda njaa"
|