forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
293 B
Markdown
16 lines
293 B
Markdown
# Benjamini akiwa nao
|
|
|
|
"Benyamini pamoja na ndugu wa Yusufu wakubwa"
|
|
|
|
# mtunzaji wa nyumba yake
|
|
|
|
"Mtunzaji" aliwajibika na kusimamia matukio ya nyumba ya Yusufu.
|
|
|
|
# Akawaleta wale watu
|
|
|
|
Hapa "akawaleta" inaweza kutafsiriwa kama "kuwachukua"
|
|
|
|
# nyumbani kwa Yusufu
|
|
|
|
"ndani ya nyumba ya Yusufu"
|