sw_tn/gen/43/16.md

293 B

Benjamini akiwa nao

"Benyamini pamoja na ndugu wa Yusufu wakubwa"

mtunzaji wa nyumba yake

"Mtunzaji" aliwajibika na kusimamia matukio ya nyumba ya Yusufu.

Akawaleta wale watu

Hapa "akawaleta" inaweza kutafsiriwa kama "kuwachukua"

nyumbani kwa Yusufu

"ndani ya nyumba ya Yusufu"