forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
698 B
Markdown
28 lines
698 B
Markdown
# Mchukueni ndugu yenu pia
|
|
|
|
"Mchukueni pia Benyamini"
|
|
|
|
# mwende tena
|
|
|
|
"mrudi"
|
|
|
|
# Mungu Mwenyezi na awape kuona rehema mbele ya huyo mtu
|
|
|
|
Nomino inayojitegemea "rehema" inaweza kuwekwa kama kivumishi "huruma". "Mungu mwenye uwezo asababishe yule mtuawe na huruma kwenu"
|
|
|
|
# ndugu yenu mwingine
|
|
|
|
"Simoni"
|
|
|
|
# Kama nikipotelewa na watoto, nimepotelewa
|
|
|
|
"Kama nikipoteza watoto wangu, basi nipoteze watoto wangu". Hii ina maana ya kwamba Yakobo anajua inapaswa akubali kitakachotokea kwa watoto wake.
|
|
|
|
# mikono yao wakachukua
|
|
|
|
Hapa "mikono" ina maana ya mtu mzima. "Wakachukua"
|
|
|
|
# wakashuka Misri
|
|
|
|
Ilikuwa kawaida kutumia msemo "kushuka" pale ambapo inazungumziwa safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri.
|