sw_tn/gen/43/13.md

698 B

Mchukueni ndugu yenu pia

"Mchukueni pia Benyamini"

mwende tena

"mrudi"

Mungu Mwenyezi na awape kuona rehema mbele ya huyo mtu

Nomino inayojitegemea "rehema" inaweza kuwekwa kama kivumishi "huruma". "Mungu mwenye uwezo asababishe yule mtuawe na huruma kwenu"

ndugu yenu mwingine

"Simoni"

Kama nikipotelewa na watoto, nimepotelewa

"Kama nikipoteza watoto wangu, basi nipoteze watoto wangu". Hii ina maana ya kwamba Yakobo anajua inapaswa akubali kitakachotokea kwa watoto wake.

mikono yao wakachukua

Hapa "mikono" ina maana ya mtu mzima. "Wakachukua"

wakashuka Misri

Ilikuwa kawaida kutumia msemo "kushuka" pale ambapo inazungumziwa safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri.