forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
662 B
Markdown
20 lines
662 B
Markdown
# Mmoja wao alipofungua gunia lake ili kumlisha punda wao katika sehemu waliyokuwa, akaona pesa yake. Tazama, ilikuwa mdomoni mwa gunia lake
|
|
|
|
"Waliposimama mahali usiku huo, mmoja wa ndugu alifungua gunia lake kupata chakula kwa ajili ya punda wake. Ndani ya gunia akakuta fedha!"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Neno "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari kwa taarifa inayoshangaza inayofuata.
|
|
|
|
# Pesa yangu imerudishwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu amerudisha fedha yangu"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Tazama ndani ya gunia langu!"
|
|
|
|
# Mioyo yao ikazimia
|
|
|
|
Kuwa na hofu inazungumziwa kana kwamba mioyo yao ilikuwa ikizama. Hapa "mioyo" ina maana ya ujasiri. "Wakawa na hofu sana"
|