forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
929 B
Markdown
28 lines
929 B
Markdown
# hawakuja ... mkalimani kati yao
|
|
|
|
Hii inabadilisha kutoka kwenye simulizi kuu kwenda kwenye taarifa ya nyuma ambayo inaelezea kwa nini ndugu walidhani Yusufu hakuweza kuwaelewa.
|
|
|
|
# mkalimani
|
|
|
|
"Mkalimani" ni mtu ambaye hutafsiri kile mtu anazungumza katika lugha nyingine. Yusufu aliweka mkalimani kati yake na ndugu zake kufanya ionekane kana kwamba hakuzungumza lugha yake.
|
|
|
|
# Akatoka kwao na kulia
|
|
|
|
Inasemekana ya kwamba Yusufu alilia kwa sababu alipatwa na hisia baada kusikia walichosema ndugu zake.
|
|
|
|
# kuongea nao
|
|
|
|
Yusufu aliendelea kuzingumza katika lugha nyingine na kutumia mkalimani kuzungumza na ndugu zake.
|
|
|
|
# kumfunga mbele ya macho yao
|
|
|
|
Hapa "macho" ina maana ya machoni mwao. "alimfunga machoni mwao" au "alimfunga huku wakitazama"
|
|
|
|
# na kuwapa mahitaji
|
|
|
|
"kuwapatia mahitaji waliyohitaji"
|
|
|
|
# Wakatendewa hivyo
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Watumishi walifanya kwao kila kitu ambachoYusufu aliwaamuru"
|