sw_tn/gen/40/09.md

508 B

Mkuu wa wanyweshaji

Mtu muhimu zaidi ambaye huleta vinywaji kwa mfalme.

Katika ndoto yangu, tazama, kulikuwa na mzabibu mbele yangu

"Katika ndoto yangu, tazama, kulikuwa na mzabibu mbele yangu!" Mnyweshaji anatumia neno "tazama" hapa kuonyesha ya kwamba alishangazwa kwa kile alichokiona katika ndoto yake na kumuamsha Yusufu avute nadhari.

kuzaa vichala vya zabibu

"vichala vyake vikaiva kuwa zabibu"

kuzikamua

Hii ina maana ya kwamba alikamua juisi kutoka kwao. "akakamua juisi kutoka kwao"