sw_tn/gen/37/09.md

667 B

Akaota ndoto nyingine

"Yusufu akapata ndoto nyingine"

nyota kumi na moja

"nyota 11"

baba yake akamkemea. Akamwambia

"Israeli alimkaripia, akisema"

Je umeota ndoto ya namna gani hii? Je mama yako ... kukuinamia mpaka chini?

Israeli anatumia swali kumrekebisha Yusufu. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "Ndoto hii uliyoota sio ya kweli. Mama yako, kaka zako, na mimi hatutainama chini mbele yako!"

wivu

Hii ina maana kuwa na hasira kwa sababu mtu mwingine amefanikiwa au ana umaarufu zaidi.

akaliwema jambo hilo moyoni

Hii ina maana ya kwamba aliendelea kufikiria kuhusu maana ya ndoto ya Yusufu. "aliendelea kufikiria kuhusu maana ya ndoto ile"