sw_tn/gen/36/40.md

541 B

majina ya wakuu wa koo

"viongozi wa koo zao"

kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao

Koo na maeneo yalitajwa kwa majina ya viongozi wa koo zao. "jina la koo zao na maeneo walipoishi yalitajwa baada yao. Haya ndio majina yao"

Timna, Alva, Yethethi, Oholibama, Ela, Pinoni, Kenazi, Temani, Mbza, Magdieli, na Iramu

Haya ni majina ya makundi ya watu.

makazi

"makazi ya kuishi" au "sehemu waliokuwa wakiishi"

Huyu alikuwa Esau

orodha hii inasemekana "kuwa" Esau, ambayo ina maana ni orodha nzima ya vizazi vya Esau"