sw_tn/gen/36/29.md

252 B

Timna

Hili ni jina la kundi la watu.

Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana, Dishoni, Ezeri, Dishani

Haya ni majina ya wanamume.

katika nchi ya Seiri

Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya Seiri. "kwa wale walioishi katika nchi ya Seiri"