forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
623 B
Markdown
28 lines
623 B
Markdown
# Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edomu)
|
|
|
|
"Hivi ndivyo vizazi vya Esau, ambaye pia anaitwa Edomu". Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Esau katika Mwanzo 36:1-8. "Hii ni habari ya vizazi vya Esau, ambaye pia anaitwa Edomu"
|
|
|
|
# Ada ... Oholibama
|
|
|
|
Haya ni majina ya wake wa Esau.
|
|
|
|
# Eloni Mhiti
|
|
|
|
"Eloni kizazi cha Hethi" au "Eloni uzao wa Hethi". Hili ni jina la mwanamume.
|
|
|
|
# Ana ... Zibeoni ... Nebayothi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanamume.
|
|
|
|
# Mhivi
|
|
|
|
Hii ina maana ya kikundi kikubwa cha watu.
|
|
|
|
# Basemathi
|
|
|
|
Hili ni jina la mke mmoja wa Esau.
|
|
|
|
# Nebayothi
|
|
|
|
Hili ni jina la mtoto mmoja wa kiume wa Ishmaeli.
|