sw_tn/gen/34/06.md

672 B

Hamori ... akaenda kuongea na Yakobo

"Hamori ... akaenda kuongea na Yakobo"

Watu hawa walichukizwa

"Wanamume walikasirika"

Walikasirika sana ... halikupasa kutendeka

Hii inaweza kuwekwa kama nukuu ya moja kwa moja iliyozungumzwa na wana wa Yakobo.

amemwaibisha Israeli

Hapa neno la "Israeli" lina maana ya kila mtu katika familia ya Yakobo. Israeli kama kundi la watu liliabishwa."ameabisha familia ya Israeli" au "ameleta aibu juu ya watu wa Israeli"

kumlazimisha binti wa Yakobo

"kumvamia binti wa Yakobo"

kwa maana jambo kama hilo halikupasa kutendeka

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kwa maana hakupaswa kufanya jambo baya kama hilo"