sw_tn/gen/33/09.md

1.3 KiB

Ninayo ya kutosha

Neno "wanyama" au "mali" linaeleweka. "Nina wanyama wa kutosha" au "Nina mali ya kutosha"

ikiwa nimeona kibali machoni pako

Hapa "machoni" ina maana ya fikra au mawazo ya mtu. "Kama unapendezwa na mimi"

zawadi yangu kutoka mkononi mwangu

Hapa "mkononi" ina maana ya Yakobo. "zawadi hii nayokupatia"

mkononi mwangu, kwa maana

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "mkono wangu. Kwa uhakika"

nimeona uso wako, na ni kama kuona uso wa Mungu

Maana ya tashbihi hii haipo wazi. Maana zaweza kuwa 1) Yakobo amefurahi ya kwamba Esau amemsamehe kama Mungu alivyomsamehe au 2) Yakobo anashangazwa kumuona kaka yake tena kama alivyoshangazwa kumuona Mungu au 3) Yakobo ananyenyekea kuwa mbele ya Esau kama alivyonyenyekea kuwa mbele za Mungu.

nimeona uso wako

Hapa "uso" ina maana ya Esau. Ni vyema kutafsiri kama "uso" kwa sababu ya umuhimu wa neno "uso" hapa pamoja na "uso wa Mungu" na "uso kwa uso" katika 32:29.

uliyoletewa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambazo watumishi wangu wamekuletea"

Mungu amenitendea kwa neema

"Mungu amenitendea wema sana" au "Mungu amenibariki sana"

Hivyo Yakobo akamsihi, na Esau akamkubali

Ilikuwa utamaduni kukataa zawadi kwanza, lakini kukubali zawadi ile baadae kabla ya mtoaji kukwazika.