sw_tn/gen/32/13.md

457 B

mia mbili

"200"

ishirini ... thelathini ... arobaini ... kumi

"20 ... 30 ... 40 ... 10"

na wana wao

"na watoto wao"

Akawaweka katika mikono ya watumishi wake, kila kundi peke yake.

Hapa "katika mikono" ina maana ya kutoa mamlaka juu yao. "Aliwagawa katika makundi madogo, na kuwapa kila mmoja wa watumishi wake mamlaka juu ya makundi"

mwache nafasi kati ya makundi ya wanyama

"na kila kundi lisafiri kwa umbali kutoka kwa kundi lingine"