sw_tn/gen/32/03.md

674 B

Seiri

Hili ni eneo lenye milima katika eneo la Edomu.

Hivi ndivyo mtakavyosema kwa bwana wangu Esau: Hivi ndivyo mtumishi wako Yakobo asemavyo: 'Nimekuwa ... mbele zako

Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Hivi ndivyo nataka ukamwambie bwana wangu Esau. Mwambie nimekuwa ... machoni pake."

bwana wangu Esau

Yakobo anatumia lugha ya upole na anamtaja kaka yake kama "bwana wangu".

mtumishi wakoYakobo

Yakobo anatumia lugha ya upole na anajiita mwenyewe kama "mtumishi wako".

ili kwamba nipate kibali mbele zako.

Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo ya mtu. "ili kwamba unithibitishe"