sw_tn/gen/31/36.md

844 B

Akamwambia

"Yakobo alimwambia Labani"

Kosa langu ni nini? Dhambi yangu ni ipi, hata ukanifuatia kwa ukali?

Misemo ya "Kosa langu ni nini" na "Dhambi yangu ni ipi" zina maana moja. Yakobo anamuuliza Labani amwambie ni kipi alichokosea. "Kosa langu ni lipi mpaka unifuate namna hii?"

ukanifuatia kwa ukali

Hapa neno la "ukali" ina maana ya Labani kumfukuza kwa haraka kwa lengo la kumkamata.

Umeona nini kati ya kitu chochote cha nyumbani mwako

"Umepata nini ambacho ni cha kwako?"

Viweke hapa mbele ya ndugu zetu

Hapa neno "zetu" ina maana ya ndugu wa Yakobo na inajumuisha ndugu wa Labani. "Laza chochote ulichokuta mbele ya ndugu zetu"

waamue kati yetu wawili

Hapa "yetu wawili" ina maana ya Yakobo na Labani. Msemo "waamue kati" ina maana ya kuamua mtu yupi yupo sahihi katika ugomvi huu. "wanaweza kuhukumu kati yetu"