sw_tn/gen/30/29.md

588 B

Yakobo akamwambia

"Yakobo alimwambia Labani"

jinsi ambavyo mifugo wako wamekuwa nami

"jinsi mifugo wako walivyokuwa vizuri tangu nimeanza kuwatunza"

Kwani walikuwa wachache kabla sijaja

"mifugo wako walikuwa wadogo kabla sijakutumikia"

na wameongezeka kwa wingi

"lakini sasa utajiri wako umeongezeka sana"

Je ni lini mimi nitaandaa kwa ajili ya nyumba yangu pia?

"Basi ni lini nitatunza familia yangu?" Yakobo anatumia swali kuweka msisitizo ya kwamba anataka kujitoa kwa familia yake. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "basi ninataka kutunza familia yangu!"