sw_tn/gen/30/14.md

794 B

Rubeni akaenda

"Rubeni alitoka nje"

Siku za mavuno ya ngano

Hapa msemo "siku za" ni sitiari yenye maana ya majira au kipindi cha mwaka. "katika kipindi cha mwaka cha mavuno ya ngano" au "wakati wa mavuno ya ngano"

tunguja

Hili ni tunda ambalo linasemekana kuongeza uwezo wa kuzaa na kuongeza hamu ya mtu kulala na mpenzi wake. "tunda la upendo"

Je ni jambo dogo kwako ... mme wangu?

"Je haujali ... mume wangu?" Hili ni swali la balagha limetumika kumkaripia Raheli. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli, "ni mbaya sana .. mume wangu"

Je na sasa unataka ... pia?

Hili ni swali la balagha limetumika kumkaripia Raheli. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli, "Na sasa unataka ... pia?"

Basi atalala nawe

"Basi Yakobo atalala" au "Basi nitamruhusu Yakobo alale"