sw_tn/gen/29/31.md

721 B

Lea hakupendwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yakobo hakumpenda Lea"

hakupendwa

Hii ni kuza jambo kusisitiza kuwa Yakobo alimpenda Raheli zaidi ya Lea. "alimpenda kwa uhafifu kuliko Raheli"

hivyo akalifungua tumbo lake

Mungu kumsababisha Lea kuwa na uwezo wa kuwa na mimba inazungumziwa kama kwamba Mungu alifungua tumbo lake.

hakuwa na mtoto

"hakuweza kuwa mjamzito"

Lea akashika mimba na kuzaa mwana

"Lea alipata mimba na kumzaa mwana wa kiume"

naye akamwita Rubeni

Jina Rubeni linamaanisha "Tazama, mwana wa kiume."

Yahwe ameliangalia teso langu

Lea alipitia uchungu wa hisia kwa sababu Yakobo alimkataa.. Nomino "teso" inaweza kuwekwa kama kitenzi. "Yahwe aliona kuwa nateseka"