sw_tn/gen/26/34.md

690 B

Taarifa ya Jumla

Sehemu kubwa ya Mwanzo 26 inahusu Isaka. Mistari hii inamhusu mtoto wake mkubwa Esau.

arobaini

"40"

akajitwalia mke

"alioa". Unaweza kusema kwa uwazi ya kwamba alioa wanawake wawili. "alioa wake wawili"

Yudithi ... Basemathi

Haya ni majina ya wake wa Esau.

Beeri ... Eloni

Haya ni majina ya wanamume.

Mhiti

"vizazi vya Hethi" au "mzawa wa Hethi"

Wakamhuzunisha Isaka na Rebeka

Hapa "wakamhuzunisha" ina maana ya Yudithi na Basemathi. Kumhuzunisha au kumsikitisha mtu inazungumziwa kana kwamba "huzuni" ni chombo ambacho mtu anaweza kukileta kwa mtu. "Walimfanya Isaka na Rebeka wawe na huzuni" au "Isaka na Rebeka walimsikitisha kwa sababu yao"