sw_tn/gen/26/34.md

28 lines
690 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla
Sehemu kubwa ya Mwanzo 26 inahusu Isaka. Mistari hii inamhusu mtoto wake mkubwa Esau.
# arobaini
"40"
# akajitwalia mke
"alioa". Unaweza kusema kwa uwazi ya kwamba alioa wanawake wawili. "alioa wake wawili"
# Yudithi ... Basemathi
Haya ni majina ya wake wa Esau.
# Beeri ... Eloni
Haya ni majina ya wanamume.
# Mhiti
"vizazi vya Hethi" au "mzawa wa Hethi"
# Wakamhuzunisha Isaka na Rebeka
Hapa "wakamhuzunisha" ina maana ya Yudithi na Basemathi. Kumhuzunisha au kumsikitisha mtu inazungumziwa kana kwamba "huzuni" ni chombo ambacho mtu anaweza kukileta kwa mtu. "Walimfanya Isaka na Rebeka wawe na huzuni" au "Isaka na Rebeka walimsikitisha kwa sababu yao"