forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
434 B
Markdown
20 lines
434 B
Markdown
# Haya ndiyo yalikuwa matukio kumuhusu Isaka
|
|
|
|
Sentensi hii inatambulisha habari ya uzao wa Isaka katika Mwanzo 25:19-35:29. "Hii ni habari ya uzao wa Isaka, mwana wa Abrahamu"
|
|
|
|
# umri wa miaka arobaini
|
|
|
|
"umri wa miaka 40"
|
|
|
|
# alipomuoa Rebeka kuwa mke wake
|
|
|
|
"alipomuoa Rebeka"
|
|
|
|
# Bethueli
|
|
|
|
Bethueli alikuwa baba wa Rebeka.
|
|
|
|
# Padani Aramu
|
|
|
|
Hili lilikuwa jina lingine la eneo la Mesopotamia, ambalo lipo eneo lile lile na Iraq ya sasa.
|