sw_tn/gen/25/09.md

830 B

pango la Makipela, katika shamba la Efroni

Efroni alimiliki shamba Makpela na pango ambalo lilikuwa ndani ya hilo shamba. Abrahamu alinunua shamba lile kutoka kwa Efroni.

Makpela

Makpela lilikuwa jina la eneo au sehemu.

Efroni ... Soari

Haya ni majina ya wanamume.

lililokuwa karibu na Mamre

Makpela ilikuwa karibu na Mamre.

Mamre

Hii ilikuwa jina jingine kwa mji wa Hebroni. Inawezekana iliitwa baada ya Mamre, rafiki yake Abrahamu aliyeishi pale"

Shamba hili Abrahamu alilinunua

"Abrahamu alinunua shamba hili"

watoto wa Hethi

Hapa "wana" ina maana ya wale amabo wametoka kwa Hethi. "uzao wa Hethi"

Abrahamu akazikwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Walimzika Abrahamu"

mwanae

"Mwana wa Abrahamu"

Beerlalahairoi

Jina hili lina maana ya "kisima cha yule aliye hai anionaye mimi"