sw_tn/gen/24/31.md

1000 B

Njoo

"Njoo ndani" au "Ingia"

uliye barikiwa na Yahwe

"wewe ambaye Yahwe amekubariki"

uliye

Hapa neno la "uliye" lina maana ya mtumishi wa Abrahamu.

Kwa nini umesimama nje?

Labani alitumia swali hili kumkaribisha mtumishi wa Abrahamu katika nyumba yake. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hauhitaji kubaki nje"

Kwa hiyo yule mtu akaingia ndani ya nyumba

Neno "akaingia" linaweza kutafsiriwa kama "akaenda"

kashusha mizigo kutoka kwa wale ngamia

Haipo wazi nani alifanya kazi hii. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtumishi wa Labani alishusha mizigo kutoka kwa ngamia" au "ngamia walishushwa mizigo"

Ngamia wakapatiwa malisho na chakula, na maji yakatolewa

Hii haisemi nani alifanya kazi hii. Iwapo utaweka hii katika hali ya kutenda basi sema "watumishi wa Labani" kama jambo. "Watumishi wa Labani waliwapa malisho na chakula ngamia, na wakatoa maji"

kuosha miguu yake ... naye

"kwa watumishi wa Abrahamu na wanamume waliokuwa naye kuosha miguu yao"