sw_tn/gen/24/19.md

308 B

Nitachota maji

"Nitafuata maji"

Hivyo akaharakisha akamwaga maji yaliyokuwa mtungini

"Kwa hiyo aliyatoa maji ndani ya mtungi haraka"

chombo cha kunywshea mifugo,

"chombo cha kunywshea wanyama". Chombo cha kunyweshea wanayma ni chombo kilicho wazi kinachoshikilia maji kwa ajili ya wanyama kunywa.