# Walipofika mahali
"Abrahamu na Isaka walipofika katika sehemu ile"
# akamfunga
"akamfunga kamba"
# juu ya madhabahu, juu ya zile kuni
"juu ya kuni zilizokuwa juu ya madhabahu"
# akanyoosha mkono wake akachukua kisu
"akaokota kile kisu"