sw_tn/gen/22/09.md

245 B

Walipofika mahali

"Abrahamu na Isaka walipofika katika sehemu ile"

akamfunga

"akamfunga kamba"

juu ya madhabahu, juu ya zile kuni

"juu ya kuni zilizokuwa juu ya madhabahu"

akanyoosha mkono wake akachukua kisu

"akaokota kile kisu"