sw_tn/gen/21/17.md

738 B

kilio cha kijana

"kilio cha kijana". Hapa "kilio" ina maana ya sauti ambayo kijana alilia au alizungumza. "sauti ya Ishmaeli"

malaika wa Mungu

"mjumbe kutoka kwa Mungu" au "Mjumbe wa Mungu"

kutoka mbinguni

Hapa "mbinguni" ina maana ya sehemu ambapo Mungu huishi.

Nini kinakusumbua

"Tatizo ni nini" au "kwa nini unalia"

kilio cha kijana mahali alipo

Hapa "kilio" ina maana ya sauti ambayo kijana alilia au alizungumza. "sauti ya kijana alipokuwa amelala pale chini"

msimamishe mtoto

"msaidie kijana asimame"

nitamfanya kuwa taifa kubwa

Kumfanya Ishamaeli kuwa taifa kubwa ina maana Mungu atampa uzao mwingi ambao utakua taifa kubwa. "Nitafanya uzao wake kuwa taifa kubwa" au "Nitamfanya awe baba wa taifa kubwa"