forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
738 B
Markdown
28 lines
738 B
Markdown
|
# kilio cha kijana
|
||
|
|
||
|
"kilio cha kijana". Hapa "kilio" ina maana ya sauti ambayo kijana alilia au alizungumza. "sauti ya Ishmaeli"
|
||
|
|
||
|
# malaika wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"mjumbe kutoka kwa Mungu" au "Mjumbe wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hapa "mbinguni" ina maana ya sehemu ambapo Mungu huishi.
|
||
|
|
||
|
# Nini kinakusumbua
|
||
|
|
||
|
"Tatizo ni nini" au "kwa nini unalia"
|
||
|
|
||
|
# kilio cha kijana mahali alipo
|
||
|
|
||
|
Hapa "kilio" ina maana ya sauti ambayo kijana alilia au alizungumza. "sauti ya kijana alipokuwa amelala pale chini"
|
||
|
|
||
|
# msimamishe mtoto
|
||
|
|
||
|
"msaidie kijana asimame"
|
||
|
|
||
|
# nitamfanya kuwa taifa kubwa
|
||
|
|
||
|
Kumfanya Ishamaeli kuwa taifa kubwa ina maana Mungu atampa uzao mwingi ambao utakua taifa kubwa. "Nitafanya uzao wake kuwa taifa kubwa" au "Nitamfanya awe baba wa taifa kubwa"
|