sw_tn/gen/16/07.md

599 B

Malaika wa Yahwe

Maana zinaweza kuwa 1) Yahwe alijifanya kuonekana kama malaika au 2) huyu alikuwa mmoja wa malaika wa Yahwe au 3) huyu alikuwa mjumbe maalumu kutoka kwa Mungu (baadhi ya wasomi wanadhani alikuwa Yesu). Kwa sababu msemo hauleweki vizuri, ni bora kutafsiri kama "malaika wa Yahwe" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".

jangwa

Eneo la jangwa aliloenda lilikuwa ni nyikani. "jangwa"

Shuri

Hii ilikuwa jina ya sehemu kusini mwa Kaanani mashariki mwa Misri.

bibi yangu

Hapa ina maana ya Sarai. Bibi alikuwa na mamlaka juu ya mtumwa wake. "mmiliki wangu".