forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
599 B
Markdown
16 lines
599 B
Markdown
|
# Malaika wa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Maana zinaweza kuwa 1) Yahwe alijifanya kuonekana kama malaika au 2) huyu alikuwa mmoja wa malaika wa Yahwe au 3) huyu alikuwa mjumbe maalumu kutoka kwa Mungu (baadhi ya wasomi wanadhani alikuwa Yesu). Kwa sababu msemo hauleweki vizuri, ni bora kutafsiri kama "malaika wa Yahwe" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".
|
||
|
|
||
|
# jangwa
|
||
|
|
||
|
Eneo la jangwa aliloenda lilikuwa ni nyikani. "jangwa"
|
||
|
|
||
|
# Shuri
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa jina ya sehemu kusini mwa Kaanani mashariki mwa Misri.
|
||
|
|
||
|
# bibi yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa ina maana ya Sarai. Bibi alikuwa na mamlaka juu ya mtumwa wake. "mmiliki wangu".
|