sw_tn/gen/10/24.md

12 lines
289 B
Markdown

# Arfaksadi
Arfaksadi alikuwa mmoja wa wana wa Shemu.
# Pelegi
Jina Pelegi lina maana ya "mgawanyiko"
# nchi iligawanyika
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "watu wa duniani walijigawa wenyewe" au "watu wa duniani waligawanyika kati yao" au "Mungu aligawanya watu wa duniani"