sw_tn/gen/09/18.md

8 lines
176 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Mistari ya 18-19 inatambulisha wana watatu wa Nuhu, ambao watakuwa sehemu muhimu katika simulizi ifuatayo.
# baba
Hamu alikuwa baba wa Kaanani wa halisi.