forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
418 B
Markdown
16 lines
418 B
Markdown
# ikatulia
|
|
|
|
"ikatua" au "ikasimama juu ya ardhi ngumu"
|
|
|
|
# katika mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya ... mwezi wa kumi
|
|
|
|
Kwa sababu Musa aliandika kitabu hiki, inawezekana ana maana ya mwezi wa saba na mwezi wa kumu kwa kalenda ya Kihebrania, lakini hii haipo wazi.
|
|
|
|
# Katika siku ya kwanza ya mwezi
|
|
|
|
"Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi"
|
|
|
|
# vikaonekana
|
|
|
|
Hii inaweza kuwekwa wazi: "ikaonekana juu ya uso wa maji"
|