forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
384 B
Markdown
12 lines
384 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Huu ni mwanzo wa orodha ya uzao wa Adamu.
|
|
|
|
# katika mfano
|
|
|
|
Msemo huu unamaanisha ya kwamba Mungu aliumba binadamu amfanane yeye. Mstari huu hausemi ni kwa namna gani Mungu aliumba wanadamu wawe kama yeye. Mungu hana mwili, kwa hiyo haimaanishi watu wangekuwa kama Mungu. "kuwa kama sisi"
|
|
|
|
# walipoumbwa
|
|
|
|
Hii inaweza kufanywa katika hali ya kutenda. "alipowaumba"
|