sw_tn/gen/05/01.md

384 B

Taarifa ya jumla:

Huu ni mwanzo wa orodha ya uzao wa Adamu.

katika mfano

Msemo huu unamaanisha ya kwamba Mungu aliumba binadamu amfanane yeye. Mstari huu hausemi ni kwa namna gani Mungu aliumba wanadamu wawe kama yeye. Mungu hana mwili, kwa hiyo haimaanishi watu wangekuwa kama Mungu. "kuwa kama sisi"

walipoumbwa

Hii inaweza kufanywa katika hali ya kutenda. "alipowaumba"