sw_tn/gen/03/20.md

355 B

Mwanamume

Baadhi ya tafsiri husema "Adamu".

akaita mke wake jina Hawa

"alimpa mke wake jina la Hawa" au "alimuita mkewe Hawa"

Hawa

Neno Hawa linafanana na neno la Kihebrania lenye maana ya "wenye uhai".

wote wenye uhai

Neno hapa "wenye uhai" linamaanisha watu. "watu wote"

mavazi ya ngozi

"mavazi yanayotengenezwa kwa ngozi ya wanyama"