sw_tn/gen/03/09.md

645 B

uko wapi?

"Kwa nini unajaribu kujificha kwangu?" Mungu alijua mwanamume alikuwa wapi. Mwanamume alipojibu, hakusema yupo wapi bali alisema kwa nini amejificha.

"uko"

Katika mstari wa 9 na 11, Mungu alikuwa akizungumza na mwanamume.

nilikusikia

"Nilisikia sauti uliyokuwa unaifanya"

Ni nani alikwambia

Mungu alijua jibu la swali hili. Aliuliza ili kumlazimisha Adamu akiri kuwa hakumtii Mungu.

Je umekula ... kutoka?

Kwa mara nyingine, Mungu alijua kuwa hiki kimetokea. Tafsiri hili swali katika namna ambayo inaonyesha Mungu anamlaumu Adamu kwa kutokutii kwake. Sentensi yaweza kutafsiriwa kwa kauli hii. "Umekula ..kutoka."