forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
645 B
Markdown
20 lines
645 B
Markdown
|
# uko wapi?
|
||
|
|
||
|
"Kwa nini unajaribu kujificha kwangu?" Mungu alijua mwanamume alikuwa wapi. Mwanamume alipojibu, hakusema yupo wapi bali alisema kwa nini amejificha.
|
||
|
|
||
|
# "uko"
|
||
|
|
||
|
Katika mstari wa 9 na 11, Mungu alikuwa akizungumza na mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# nilikusikia
|
||
|
|
||
|
"Nilisikia sauti uliyokuwa unaifanya"
|
||
|
|
||
|
# Ni nani alikwambia
|
||
|
|
||
|
Mungu alijua jibu la swali hili. Aliuliza ili kumlazimisha Adamu akiri kuwa hakumtii Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Je umekula ... kutoka?
|
||
|
|
||
|
Kwa mara nyingine, Mungu alijua kuwa hiki kimetokea. Tafsiri hili swali katika namna ambayo inaonyesha Mungu anamlaumu Adamu kwa kutokutii kwake. Sentensi yaweza kutafsiriwa kwa kauli hii. "Umekula ..kutoka."
|