sw_tn/gen/02/07.md

364 B

aliumba

"alifinyanga" au "alifanya" au "aliumba"

mtu ... mtu

"binadanu ... mtu" au "mwanadamu" sio lazima wa kiume.

tundu la pua

"pua yake"

pumzi ya uhai

"pumzi inayofanya vitu kuishi". Hapa "uhai" una maana ya uhai wa mwili.

bustani

Hii yaweza kuwa shamba la miti ya matunda au eneo lenye kila aina ya miti.

upande wa mashariki

"mashariki"