sw_tn/gen/02/07.md

24 lines
364 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# aliumba
"alifinyanga" au "alifanya" au "aliumba"
# mtu ... mtu
"binadanu ... mtu" au "mwanadamu" sio lazima wa kiume.
# tundu la pua
"pua yake"
# pumzi ya uhai
"pumzi inayofanya vitu kuishi". Hapa "uhai" una maana ya uhai wa mwili.
# bustani
Hii yaweza kuwa shamba la miti ya matunda au eneo lenye kila aina ya miti.
# upande wa mashariki
"mashariki"