forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
364 B
Markdown
24 lines
364 B
Markdown
|
# aliumba
|
||
|
|
||
|
"alifinyanga" au "alifanya" au "aliumba"
|
||
|
|
||
|
# mtu ... mtu
|
||
|
|
||
|
"binadanu ... mtu" au "mwanadamu" sio lazima wa kiume.
|
||
|
|
||
|
# tundu la pua
|
||
|
|
||
|
"pua yake"
|
||
|
|
||
|
# pumzi ya uhai
|
||
|
|
||
|
"pumzi inayofanya vitu kuishi". Hapa "uhai" una maana ya uhai wa mwili.
|
||
|
|
||
|
# bustani
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuwa shamba la miti ya matunda au eneo lenye kila aina ya miti.
|
||
|
|
||
|
# upande wa mashariki
|
||
|
|
||
|
"mashariki"
|