sw_tn/gen/01/28.md

12 lines
322 B
Markdown

# Mungu akawabariki
Neno "akawabariki" lina maana ya mwanamume na mwanamke aliowaumba Mungu.
# zaeni na kuongezeka
Mungu alimwambia mwanamume na mwanamke kuzalisha watu zaidi kama wao wenyewe ili kwamba wawe wengi kama wao. neno "kuongezeka" linaelezea namna wanavyotakiwa "kuzaa".
# Jazeni nchi
jazeni nchi na watu.