forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
322 B
Markdown
12 lines
322 B
Markdown
# Mungu akawabariki
|
|
|
|
Neno "akawabariki" lina maana ya mwanamume na mwanamke aliowaumba Mungu.
|
|
|
|
# zaeni na kuongezeka
|
|
|
|
Mungu alimwambia mwanamume na mwanamke kuzalisha watu zaidi kama wao wenyewe ili kwamba wawe wengi kama wao. neno "kuongezeka" linaelezea namna wanavyotakiwa "kuzaa".
|
|
|
|
# Jazeni nchi
|
|
|
|
jazeni nchi na watu.
|