sw_tn/gen/01/28.md

322 B

Mungu akawabariki

Neno "akawabariki" lina maana ya mwanamume na mwanamke aliowaumba Mungu.

zaeni na kuongezeka

Mungu alimwambia mwanamume na mwanamke kuzalisha watu zaidi kama wao wenyewe ili kwamba wawe wengi kama wao. neno "kuongezeka" linaelezea namna wanavyotakiwa "kuzaa".

Jazeni nchi

jazeni nchi na watu.