forked from WA-Catalog/sw_tn
322 B
322 B
Mungu akawabariki
Neno "akawabariki" lina maana ya mwanamume na mwanamke aliowaumba Mungu.
zaeni na kuongezeka
Mungu alimwambia mwanamume na mwanamke kuzalisha watu zaidi kama wao wenyewe ili kwamba wawe wengi kama wao. neno "kuongezeka" linaelezea namna wanavyotakiwa "kuzaa".
Jazeni nchi
jazeni nchi na watu.