forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
742 B
Markdown
28 lines
742 B
Markdown
# akavibariki
|
|
|
|
"alibariki wanyama aliowaumba"
|
|
|
|
# zaeni na muongezeke
|
|
|
|
Hii ni baraka ya Mungu. Aliwaambia wanyama wa baharini kuzalisha wanyama wengine wa baharini kama wao wenyewe, ili kwamba wawe wengi baharini. Neno "ongezeka" linafafanua jinsi gani wanapaswa "kuongezeka"
|
|
|
|
# ongezeka
|
|
|
|
"ongezeka kwa idadi kubwa" au "kuwa wengi"
|
|
|
|
# Ndege waongezeke
|
|
|
|
Hii ni amri. Kwa kuamuru ya kwamba ndege waongezeke, Mungu aliwafanya ndege waongezeke.
|
|
|
|
# ndege
|
|
|
|
"wanyama warukao" au "vitu virukavyo"
|
|
|
|
# jioni na asubuhi
|
|
|
|
Hii inamaanisha siku nzima. Mwandishi anazungumzia siku nzima kana kwamba ni sehemu mbili. Kwa tamaduni za Kiyahudi, siku moja huanza baada ya jua kuzama.
|
|
|
|
# siku ya tano
|
|
|
|
Hii inamaanisha siku ya nne ambapo ulimwengu ulianza kuwepo.
|