sw_tn/gen/01/22.md

742 B

akavibariki

"alibariki wanyama aliowaumba"

zaeni na muongezeke

Hii ni baraka ya Mungu. Aliwaambia wanyama wa baharini kuzalisha wanyama wengine wa baharini kama wao wenyewe, ili kwamba wawe wengi baharini. Neno "ongezeka" linafafanua jinsi gani wanapaswa "kuongezeka"

ongezeka

"ongezeka kwa idadi kubwa" au "kuwa wengi"

Ndege waongezeke

Hii ni amri. Kwa kuamuru ya kwamba ndege waongezeke, Mungu aliwafanya ndege waongezeke.

ndege

"wanyama warukao" au "vitu virukavyo"

jioni na asubuhi

Hii inamaanisha siku nzima. Mwandishi anazungumzia siku nzima kana kwamba ni sehemu mbili. Kwa tamaduni za Kiyahudi, siku moja huanza baada ya jua kuzama.

siku ya tano

Hii inamaanisha siku ya nne ambapo ulimwengu ulianza kuwepo.