forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.0 KiB
Markdown
24 lines
1.0 KiB
Markdown
# Tangu sasa
|
|
|
|
Hii inaweza kumaanisha "mwisho" au "kwa kuhitimisha barua hii"
|
|
|
|
# mtu yeyote asinitaabishe
|
|
|
|
Maana zinaweza kukubalika ni 1) Paulo anawaamuru Wagalatia wasimtaabishe "Ninawaamuru kwamba : "msinitaabishe" au 2)Paulo anawaambia Wagalatia kwamba anaagiza watu wote wasimtaabishe. "Ninamwamuru kila mmoja kwamba: usinitaabishe" au 3) Paulo anaeleza matakwa yake, "sitaki mtu yeyote anitaabishe"
|
|
|
|
# kunitesa mimi
|
|
|
|
Maana zinazokubalika ni 1) "kuniambia mambo haya" au 2) kunisababishia matatizo" au "kunipa kazi ngumu."
|
|
|
|
# maana nimebeba chapa za Yesu mwilini mwangu
|
|
|
|
"NIna makovuya vidonda katika mwili wangu kwa sababu ya huduma yangu kwa Yesu" au "Bado nina alama ya makovu katika mwili wangu kwasababu mimi ni mali ya Yesu"
|
|
|
|
# Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho
|
|
|
|
"Ninaomba kwamba Bwana Yesu atakuwa mwema katika roho zenu"
|
|
|
|
# ndugu
|
|
|
|
Hapa neno 'ndugu' linamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni.
|