sw_tn/gal/05/25.md

260 B

Kama tukiishi kwa Roho

"Tangu Roho wa Mungu alipotufanya kuwa hai"

tembea kwa Roho

Neno 'kutembea' ni sitiari kuonesha maisha ya kila siku. "mruhusu Roho Mtakatifu awaogoze ili kwamba tufanye mambo yanayompendeza na kumheshimu Mungu.

tu

"tunapaswa"